Breaking

Tuesday, May 23, 2017

MANJI ANG'ATUKA YANGA

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari, Manji amesema ameamua kuachia ngazi ya uongozi huo kwa ajili ya kuwapisha watu wengine waongoze ili wasifikirie uongozi katika timu hiyo upo kwa ajili ya watu wachache pekee.
Soma taarifa hyo hapa chini.


No comments:

Post a Comment